iqna

IQNA

Msikiti wa al Aqsa
AL-QUDS (IQNA) - Utawala wa Kizayuni wa Israel umeweka kwa walimu wa kike wa Qur'ani Tukufu katika Msikiti wa Al-Aqsa huko Al-Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3477935    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/23

Jinai za Israel
AL-QUDS (IQNA) - Vikosi vya Israel vimewabana waumini wa Kiislamu wa Kipalestina katika kitongoji cha Wadi Al-Joz mjini Al Quds (Jerusalem), na kuwazuia kufika Msikiti wa Al-Aqsa kwa ajili ya Sala ya Ijumaa ya kila wiki.
Habari ID: 3477795    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/27

AL-QUDS (IQNA) - Israel ilizuia makumi ya maelfu ya Wapalestina kuingia katika Msikiti wa Al-Aqsa kwa siku ya Ijumaa ya 2 mfululizo.
Habari ID: 3477775    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/22

AL-QUDS (IQNA) - Vikosi vya usalama vya Israel vilivamia Ukumbi wa Swala ya Bab al-Rahma ndani ya eneo la Msikiti wa Al-Aqsa huko al-Quds inayokaliwa kwa mabavu, na kusababisha uharibifu mkubwa, kama ilivyothibitishwa na mashahidi.
Habari ID: 3477572    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/09

Jinai za Israel
Al-AQSA (IQNA)- Kwa mara nyingine tena walowezi wa Kizayuni wenye misimamo mikali tena wameuvamia na kuuvunjia heshima msikiti wa al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israen huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3477435    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/14

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) wamelaani uvamizi wa mara kwa mara wa wanajeshi wa utawala haramu Israel na walowezi wa Kizayuni wenye itikadi kali kwenye jengo la Msikiti wa al-Aqsa mjini Quds (Jerusalem), na kuutaja utaratibu huo kuwa ni uvunjaji wa sheria za kimataifa.
Habari ID: 3477376    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/03

Jinai za Israel
Makumi ya walowezi wa Kizayuni wenye misimamo mikali asubuhi ya leo wameuvamia tena msikiti wa al-Aqswa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na kulivunjia heshima eneo hilo takatifu.
Habari ID: 3477120    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/08

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Mwanajeshi wa zamani wa utawala haramu na wa Kizayuni wa Israel amezirejesha funguo za Babul-Magharibah, moja ya milango ya ukuta wa magharibi wa Msikiti wa Al-Aqsa, tangu alipoziiba miaka 56 iliyopita katika mji wa Baitul Muqaddas (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na akaeleza: "hivi ndivyo Israel inapaswa kuwafanyia Wapalestina".
Habari ID: 3477032    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/22

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) na nchi za Kiislamu zimelaani hujuma iliyofanywa na Wazayuni wakiongozwa na mawaziri na wabunge kadhaa wa utawala haramu wa Israel dhidi ya Msikiti wa al Aqsa katika kile kilichopewa jina la "siku ya bendera".
Habari ID: 3477016    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/19

Jinai za Israel
JTEHRAN (IQNA)- umuiya ya Nchi za Kiarabu imelaani vikali hujuma ya hivi karibuni zaidi ya utawala haramu Israel dhidi ya Msikiti wa al-Aqswa katika Mji Mkongwe wa al-Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na Israel. Jumuiya hiyo pia limelaani hujuma ya kikatili ya askari wa utawala haramu wa Israel dhidi ya waumini wa Kipalestina waliokuwa katika msikiti huo kwa ajili ya ibada katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3476819    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/06

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Msemaji wa harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, amelaani vikali uvamizi wa wanajeshi wa Kizayuni katika Msikiti wa Al-Aqsa katika mji mtakatifu wa al-Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3476764    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/26

Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA)- Mamia ya Wapalestina wakazi wa mji wa Al Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na Israel wameanzisha kampeni ya kuusafisha Msikiti mtukufu wa Al-Aqsa sambamba na kukaribia mwandamo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3476728    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/19

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)-Wajumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wamesisitiza juu ya ulazima wa kudumisha hali ya miongo kadhaa iliyopita katika eneo la Msikiti wa al-Aqsa katika Mji Mkongwe wa al-Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala wa Israel baada ya utawala huo ghasibu kulivunjia heshima eneo hilo takatifu.
Habari ID: 3476366    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/06

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Baraza la Wakfu la Jordan katika mji wa al-Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel limeonya kwamba utawala wa kibaguzi unaugeuza Msikiti wa Al-Aqsa kuwa eneo la kijeshi.
Habari ID: 3476325    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/29

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Mapambano ya Kiisalmu ya Palestina, Hamas, imetoa wito kwa Wapalestina kuzidisha uwepo wao katika eneo la Msikiti wa Al-Aqsa mjini Al Quds (Jerusalem) ili kulinda eneo takatifu dhidi ya uvamizi wa Israel na njama za kubadilisha hadhi yake.
Habari ID: 3476260    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/17

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Kamati moja ya Palestina inasema utawala haramu wa Israel unajenga makaburi bandia karibu na Msikiti wa Al-Aqsa ili kughushi ushahidi katika siku zijazo.
Habari ID: 3476056    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/08

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Mjumbe mwandamizi wa ofiisi ya kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, utawala haramu wa Israel unatumia vibaya udhaifu ambao umeugubika ulimwengu wa Kiarabu na hivyo kuudhibiti mji wa Quds (Jerusalem) na msikiti mtakatifu wa al-Aqsa ulio mjini humo.
Habari ID: 3475846    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/27

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Chama kikubwa zaidi nchini Jordan kimeonya kuhusu ongezeko la walowezi wa Kizayuni Waisraeli ambao wanatekeleza hujuma za kichochezi dhidi ya Msikiti wa Al-Aqsa huko al-Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3475824    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/22

TEHRAN (IQNA)- Utawala wa Kizayuni wa Israel unaendeleza njama zake haramu za Kuuyahudisha Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala huo ghasibu.
Habari ID: 3474749    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/31

TEHRAN (IQNA) – Maelfu ya Wapalestina wameshiriki katika Sala ya Ijumaa katika Msikiti wa Al Aqsa mjini Quds (Jerusalem) pamoja na kuwepo vizuizi vilivyokuwa vimewekwa na askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel unaokalia ardhi hiyo ya Palestina kwa mabavu.
Habari ID: 3474635    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/03